CCM Serengeti wamtaka Mh Lowassa - LEKULE

Breaking

23 Feb 2015

CCM Serengeti wamtaka Mh Lowassa


Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa akimshukuru Mjumbe wa halmashauri mkuu taifa kutoka Serengeti Patric Chandi Marwa huku mwenyekiti wa CCM Serengeti (kulia) Vicent  Nyamasagi akitabasamu. Uongozi huo wa CCM Serengeti ulikwenda nyumbani kwa Mh Lowassa Monduli kumuomba atangaze nia kuwa urais kupitia Chama hicho.

No comments: