PICHA 17: Rais Magufuli katua Airport Mwanza akatoa laki moja watu wanywe soda na akakaa kwenye Mgahawa - LEKULE

Breaking

29 Mar 2016

PICHA 17: Rais Magufuli katua Airport Mwanza akatoa laki moja watu wanywe soda na akakaa kwenye Mgahawa


March 29 2016 Rais Magufuli ametua kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza na kukutana na viongozi wa Mwanza pamoja wananchi wake waliokuwa Airport ya Mwanza, kingine alichokifanya ni kwenda kwenye mgahawa wa kawaida kabisa uliopo pembeni ya Airport na kutoa ofa ya vinywaji kwa Wananchi.
Image00001
Rais Magufuli akitoka kuelekea kwenye Mgahawa

Image00007
Rais Magufuli kwenye meza moja na Meya wa Ilemela Renatus Mulunga na Meya wa Jiji James Bwire
Image00013
Watu wakapita na ofa ya Rais Magufuli.
Image00012
Image00014
Wanahabari nao wakapita kwenye ofa
Image00010
Image00009
Huu ndio mgahawa alipofikia Rais Magufuli
Image00008
Watu nje ya Mgahawa
Image00006
Mama Janeth Magufuli na Rais Magufuli
Image00005
.
Image00015
Wanahabari na Easter Madale, Meneja uwanja wa ndenge Mwanza
Image00018
Image00019
p
Image00024

Image00002
.
Rais Magufuli amepita Mwanza akielekea Chato nyumabani kwao kwa mapumziko ya siku tano na baada ya hapo ataanza ziara yake ya kikazi kwenye mkoa wa Mwanza.
Image00025
Wananchi wakimuaga Rais Magufuli akiondoka airport

No comments: