March 29 2016 Rais Magufuli ametua kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza na kukutana na viongozi wa Mwanza pamoja wananchi wake waliokuwa Airport ya Mwanza, kingine alichokifanya ni kwenda kwenye mgahawa wa kawaida kabisa uliopo pembeni ya Airport na kutoa ofa ya vinywaji kwa Wananchi.
Rais Magufuli akitoka kuelekea kwenye Mgahawa
Rais Magufuli kwenye meza moja na Meya wa Ilemela Renatus Mulunga na Meya wa Jiji James Bwire
Watu wakapita na ofa ya Rais Magufuli.
Wanahabari nao wakapita kwenye ofa
Huu ndio mgahawa alipofikia Rais Magufuli
Watu nje ya Mgahawa
Mama Janeth Magufuli na Rais Magufuli
.
Wanahabari na Easter Madale, Meneja uwanja wa ndenge Mwanza
p
.
Rais Magufuli amepita Mwanza akielekea Chato nyumabani kwao kwa mapumziko ya siku tano na baada ya hapo ataanza ziara yake ya kikazi kwenye mkoa wa Mwanza.
Wananchi wakimuaga Rais Magufuli akiondoka airport
No comments:
Post a Comment