Ufaulu waongezeka katika matokeo ya kumaliza elimu ya msingi kwa asilimia 10.85. - LEKULE

Breaking

31 Oct 2015

Ufaulu waongezeka katika matokeo ya kumaliza elimu ya msingi kwa asilimia 10.85.

Baraza la  mitihani la taifa limetoa matokeo ya kumaliza elimu ya msingi ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 10.85 ambapo mtihani uliopita  wanafunzi walifaulu kwa asilimia 56.99 tofauti na mwaka huu ufaulu umeongezea hadi asilimia 71.58. Tupate taarifa zaidi.
Akitoa tarifa za  matokeo hayo  katibu mtendaji wa baraza hil Dk.  Charles Msonde amesema jumala ya watahiniwa 518,034  katia ya 763,602 waliofanya mtihani huo wamefaulu.
 
Aidha katibu huyo amesema jumatatu ya wiki ijayo wanafunzi 448,358 wanatarajiawa kufanya mitahia ya kumaliza kidato cha nne kwa nchi nzima na hivyo ameiomba jamii kutoa ushirikino wa wanafunzi kufanya mitihani yao kwa umakini mkubwa.

No comments: