Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole
Gabriel kulia akiongea na Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani
(FIFA) Bw. Salman Bin Ebrahim Al Khalifa katikati kuhusiana na maendeleo
ya michezo nchini, kushoto ni Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu
Tanzania Bw. Jamali Malinzi. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM).
Makamu wa
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Bw. Salman Bin Ebrahim Al
Khalifa katikati akiongea na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel kulia kuhusiana na maendeleo
ya michezo nchini, wa kwanza kushoto ni Rais wa Shirikisho la mpira wa
miguu Tanzania Bw. Jamali Malinzi.
No comments:
Post a Comment