Mkurugenzi
wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA),
Daniel Machemba akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani)
wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China)
yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi Diamond
Jubilee.
Mkurugenzi
wa huduma za wanachama wa TPSF, Louis Accaro (kulia) akibadilishana
mawazo na Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and
Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba wakati wa uzinduzi wa maonesho ya
bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi
13 mwaka huu katika ukumbi Diamond Jubilee.
No comments:
Post a Comment