Vodacom yadhamini michezo shule ya sekondari Nganza - LEKULE

Breaking

1 Apr 2016

Vodacom yadhamini michezo shule ya sekondari Nganza

 Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama akigawa Fulana za Vodacom kwa wanafunzi wa Nganza Sekondari katika Tamasha la michezo la shule hiyo waalilolidhamini jijini Mwanza jana. 
 Kanda: Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza jana katika tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom. Picha na Lordrick Ngowi
  Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakishndana kukimbia na magunia jana katika tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom.
 Halima Juma na Jesca Balakekenwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakishindana kula keki na soda jana katika tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom. 
 Muntancy Rashidi na Rosemery Yohana wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakishindana kula chakula jana katika tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom
 Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza, Dativa Anold  akicheza jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza, Christopher Gachuma akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo.

 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakifatilia michezo iliyokuwa ikiendelea jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo. Picha na Lordrick Ngowi.

No comments: