Usmanov: Arsenal ''inamuhitaji'' Arsene Wenger - LEKULE

Breaking

26 Mar 2016

Usmanov: Arsenal ''inamuhitaji'' Arsene Wenger


Arsenal ''inamuhitaji'' Arsene Wenger hivyobasi mkufunzi huyo wa The Gunners ana uwezo wa kumchagua mrithi wake wakati atakapoondoka,kulingana na mwanahisa mkuu wa klabu hiyo Alisher Usmanov.
Wenger pia lazima ashiriki katika ''kumteua mrithi wake''.
''Kilabu hiyo lazima iendelee chini ya ukufunzi wa ''nembo yake na mali yake'' ambaye ni mkufunzi ''Arsene Wenger', alisema mfanyibiashara huyo wa Urusi.
Lakini licha ya kumuunga mkono Usmanov aliongezea kwamba Arsenal imekabiliwa na tatizo la kushindwa kushinda mataji kwa miaka mingi na ''haiwezi kushinda taji la ligi kuu ya Uingereza msimu huu''.

No comments: