Umoja wa Washairi Tanzania wazinduliwa (UWASHATA) - LEKULE

Breaking

6 Mar 2016

Umoja wa Washairi Tanzania wazinduliwa (UWASHATA)


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa umoja huo Seleman Kirungi na kusho ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura (mwenye miwani) akisikiliza maelezo kuhusu mwandishi wa Fasihi Hayati Sheikh Amri Abeid Kaluta kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Utamaduni _Sehemu ya Lugha Bibi. Shani Kitogo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) leo jijini Dar es Salaam.
Msherehesaji katika hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) Mfaume Rashid akisisitiza jambo wakati wa zoezi la uzinduzi wa umoja huo leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha, Mlezi mstaafu wa UKUTA Prof Mulokozi na Mwandishi wa vitabu na mwakilishi wa UWASHATA Charles Mloka.
Mjukuu wa Hayati Mathias Mnyampala Bw. Stanley Machichimi Mnyampala akimpa zawadi ya Kitabu cha fasihi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) leo jijini Dar es Salaam. Kitabu hicho kinajulikana kwa jina la “Maisha Gharamia” ambacho kilitungwa na Babu yake. Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha,Mlezi mstaafu wa UKUTA Prof Mulokozi na Mwandishi wa vitabu na mwakilishi wa UWASHATA Charles Mloka.
Mtoto wa Hayati Amiri Abeid Kaluta akimkabidhi zawadiya kitabu Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) leo jijini Dar es Salaam. Kitabu hicho kinajulikana kwa jina la “Maisha Gharamia” ambacho kilitungwa na Babu yake. Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha,Mlezi mstaafu wa UKUTA Prof Mulokozi na Mwandishi wa vitabu na mwakilishi wa UWASHATA Tawi la Dodoma Charles Mloka.
Mmoja wa wasanii wa Ushairi akielezea namna Kitabu cha “Kivuli cha Mvumo” wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja huo leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha,Mlezi mstaafu wa UKUTA Prof Mulokozi na Mwandishi wa vitabu na mwakilishi wa UWASHATA Charles Mloka
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akiwa Mwyenyekiti wakiwa wameshika Hati ya usajili wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja huo leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa umoja huo Seleman Kirungi na kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) Dkt. Ernesta Mosha.
Msherehesaji katika hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) ambaye pia ni ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni za Mfaume Rashid akionyesha moja ya vitabu alivyo vitunga leo wakati wa hafla ya uzinduzi wa huo leo wakati wa hafla ya uzinduzi wa huo leo. Vitabu hivyo ni pamoja ma Kivuli cha Kiamboni, Umbuji wa Kiswahili na Nuru Gizani.
Baadhi ya Wafanyakazi kutoka Idara ya Maendeleo ya Utamaduni wakiangalia tarifa mbalimbali kuhusu waandishi wa vitabu vya Fasihi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA).
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Umoja wa Washairi Tanzania (UWASHATA) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja huo leo jijini Dar es Salaam. Picha na Frank Shija,WHUSM 

No comments: