KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI CHAFANYIKA LEO. - LEKULE

Breaking

26 Feb 2016

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI CHAFANYIKA LEO.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jesh Lupembe akizungumza katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halamshauri hiyo.
Baadhi ya watendaji wa Halmashari ya Manispaa ya Moshi wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo .
Baadhi ya Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakifuatilia kwa makini hoja zilizokuwa zikitolewa  katika kikao cha baraza hilo.
Diwani wa kata ya Ngangamfumuni ,Anthony .......akichangia hoja katika kikao cha bajeti cha Halmashauri ya manispaa ya Moshi .
Diwani wa kata ya Ng'ambo ,Genesis Kihwelu akichangia hoja katika kikao hicho.
Diwani wa kata ya Kilimanjaro,Priscus Tarimo akifuatlia hoja katika kikao hicho.
Msathiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Raymond Mboya (Kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ,Jesh Lupembe.
Diwani wa kata ya Kiusa ,Stephen Ngasa akichangia hoja katika kikao hicho.
Diwani wa kata ya Mji Mpya ,Abuu Shayo akichangia hoja katika kikao hicho.
Baadhi ya Madiwani wakifuatilia michango ya madiwani wenzao katika kikao hicho.
Diwani wa kata ya Miembeni,Mbonea Mshana akichangia hoja katika kikao hicho.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Raymond Mboya akiwa katika kikao hicho.
Diwani wa kata ya Bondeni Masiu Kilusu akifuatilia hoja za madiwani wenzake.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafry Michael pia laikuwa ni miongoni mwa madiwani waliohudhuria kikao hicho.

No comments: