WAZIRI LUKUVI AWAONYA MADALALI WA ARDHI, AFANYA ZIARA KIBAHA ADHAMIRIA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI. - LEKULE

Breaking

12 Jan 2016

WAZIRI LUKUVI AWAONYA MADALALI WA ARDHI, AFANYA ZIARA KIBAHA ADHAMIRIA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI.


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akisaini kitabu cha wageni alipowasili Ofisi ya mkoa wa Pwani kukagua utendaji wa kazi kuzungumza na wananchi pia kusikiliza malalamiko na kero zao kuhusu maswala ya ardhi alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Wilaya ya Kibaha jana. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akikagua mafaili ya hati za ardhi za wananchi yanayodaiwa kukaa kwenye shelvu kwa zaidi ya miaka mitatu pasipo kufikishwa kwa wahusika. Anayempa maelezo ni Afisa Ardhi Mteule, Majaliwa Jaffari. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akikagua mafaili ya hati za ardhi za wananchi yanayodaiwa kukaa kwenye shelvu kwa zaidi ya miaka mitatu pasipo kufikishwa kwa wahusika. Anayempa maelezo ni Afisa Ardhi Mteule, Majaliwa Jaffari. 
Wantedanji na viongozi wakimsikiliza Waziri Lukuvi. 
Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Bi. Halima Kiemba akimsomea muhtasari Waziri wakati wa kikao na viongozi pamoja na watendaji wa wilaya hiyo Mkoa wa Pwani jana. Kutoka (kulia) ni Mkubge wa Kibaha, Mhe. Koka Foka na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mgeni Bauani. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akiongea na wafanyakazi na watendaji wa Halmashauri ya Kibaha pamoja katika kikao nao kabla kuzungumza na wananchi na kusikiliza malalamiko na kero zao kuhusu maswala ya ardhi alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani jana. 
Waziri Lukuvi akielekeza jambo alipotembelea eneo la Stendi ya mabasi eneo la Kibaha Maili moja na kujadili namna ya kufanikisha mradi wa ujenzi wa kituo hicho. Kushoto ni Mbunge wa Kibaha, Mhe. Koka Foka na Mkuu wa Wilaya hiyo Halima Kiemba. 
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akisikiliza kero za Bi. Zena Shabani kabla kupokea vielelezo vya malalamiko na kero za kuzulumiwa ardhi yenye hekari 50 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemiah Mchechu kutoka kwa Zena Shaban (85) alipokuwa katika ziara ya kikazi kusikiliza malalamiko ya wananchi Kibaha Mkoa wa Pwani jana. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akipokea vielelezo vya malalamiko na kero za kuzulumiwa ardhi yenye hekari 50 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemiah Mchechu kutoka kwa Zena Shaban (85) alipokuwa katika ziara ya kikazi kusikiliza malalamiko ya wananchi Kibaha Mkoa wa Pwani jana. 
Mmoja wa wananchi waliohudhuria mkutano huo akitoa kero zake kwa Waziri. 

No comments: