TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20 - LEKULE

Breaking

4 Sept 2015

TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20



Staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh akiwa na mumewe Mr. X, Oladunni.
Lagos, Nigeria
BAADA ya kufunga rasmi ndoa ya kimila nchini Naija, staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh amefunguka kuwa pete aliyovishwa na mchumba wake, Mr. X, Oladunni kwenye harusi yake ina gharama ya shilingi milioni 20.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto alitupia picha ya pete hiyo na kuambatanisha na maneno yaliyosomeka; “Mungu amebariki ndoa hii takatifu imetimia, utambulisho umetimia, posa imetimia na ndoa ya kimila imetimia na sasa hivi ni ndoa kubwa.”

No comments: