ONESHO LA MASAUTI LUXURY ILIVYOWEKA HISTORIA UKUMBI WA MZALENDO SECOND FLOOR‏ - LEKULE

Breaking

2 Sept 2015

ONESHO LA MASAUTI LUXURY ILIVYOWEKA HISTORIA UKUMBI WA MZALENDO SECOND FLOOR‏


Wema Sepetu.

Warembo wkiendelea kuburudika. Christian Bela akifanya yake jukwaani.

Wageni…
Wema Sepetu.
Warembo wkiendelea kuburudika.Christian Bela akifanya yake jukwaani.

Wageni mbalimbali waliohudhuria onesho hilo.
Yamoto band, katika ubora wao.
Onesho kabambe iliyopewa jina la Masauti Luxury ambayo lililofanyika mwishoni wikiendi iliyopita na kubamba, huku kiingilio kikiwa ni Tsh 50,000.
Burudani zilitolewa na Safi Cultural Group, Dogo Pepe, Yamoto Band na Christiani Bela ‘Mfalume wa masauti’. Onesho lililokuwa limedhaminiwa na Tigo music na Tusker.
Waandaji wa onesho hilo e-masta walipongezwa kwa kujipanga kwani kila kitu kilienda vyema kuanzia ulinzi, muda pamoja mambo mengine ikiwemo vinjwaji, chakula na burudani.


No comments: