WALIONUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO NCHINI JAPAN WAAGWA - LEKULE

Breaking

14 Aug 2015

WALIONUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO NCHINI JAPAN WAAGWA

 Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaharu Yoshida akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania walionufaika na ufadhili wa masomo wa mpango wa ABE Initiative  wakati wa hafla fupi ya kuwaaga  iliyofanyika nyumbani kwake mapema jana
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa sita kutoka kulia) na Balozi wa Japan nchini Bw. Masaharu Yoshida (wa tano kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na watanzania wakionufaika na ufadhili wa mpango wa ABE Intiative baada ya hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika nyumbani kwa Balozi huyo mapema jana. Wengine ni Maofisa kutoka Utumishi na JICA.

No comments: