Adam Peaty atwaa medali ya dhahabu - LEKULE

Breaking

4 Aug 2015

Adam Peaty atwaa medali ya dhahabu

Mwingereza Adam Peaty ametwaa medali ya dhahabu baada ya kuibuka bingwa katika michuano ya dunia ya mchezo wa kuogelea
Peaty ameshinda katika mbio za mita mia kwa kutumia dakika 58.52 huku Van der Burgh aliyeshika nafasi ya pili akitumia muda wa dakika 58.59. huku Ross Murdoch akishinda medali ya shaba
Siobhan-Marie O'Connor nae alishinda medali ya shaba katika mbio za mita 200 ya mchezji mmoja mmoja na kuwa mwingereza w kwanza kutwwa medali
Mashindano haya yanayoandaliawa na chama cha mchezo wa kuogelea duniani Fina yanafanyika katika mji wa kazi huko Urusi.


No comments: