Diamond Platnumz ameendelea kutajwa kuwania tuzo mbalimbali barani Afrika.
Akiwa
ni miongoni mwa wanaowania tuzo za MAMA zitakazotolewa mwezi huu,
muimbaji huyo wa ‘Nana’ ametajwa kuwania tuzo zingine za Uganda
zijulikanazo kama Uganda Entertainment Awards 2015 (UEA)
Platnumz
anawania kipengele cha Best African Act akichuana na Wizkid (Nigeria),
Patoranking (Nigeria), Tiwa Savage (Nigeria) na Active
Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Septemba 4, 2015 katika hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort (Speke Ball) jijini Kampala, Uganda.
No comments:
Post a Comment