RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE - LEKULE

Breaking

29 Jun 2015

RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE

Nkurunziza akiwa kwenye foleni kwenda kupiga kura yake ya kumchagua mbunge
Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura kwa usafiri wa baiskeli

Rais Nkurunziza akipiga kura yake.

RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza leo amepiga kura katika eneo la Ngozi kwa ajili ya kumchagua mbunge wa Jimbo lake.

Nkurunziza amewasili katika kituo cha kupigia kura akitumia usafiri wa baiskeli akiwa amesindikizwa na wapambe wake.
Baadaye rais huyo anayetaka kuwania urais kwa muhula wa tatu alijipanga kwenye foleni ili apige kura huku pembeni yake wakiwepo walinzi.

No comments: