YANGA YAZIDI KUJIKITA KILELENI BAADA YA KUIFUNGA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA MABAO 3 - 1 - LEKULE

Breaking

26 Mar 2015

YANGA YAZIDI KUJIKITA KILELENI BAADA YA KUIFUNGA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA MABAO 3 - 1


Simon Msuva (kushoto) akimkumbatia Mrisho Ngasa huku Danny Mrwanda. Kulia ni Danny Mrwanda baada ya kuifungia kimu yake bao la tatu ambapo Yanga ilishinda 3-1.
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akichuana na Damas Makwaya wa JKT Ruvu (kushoto), katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Msuva akimtoka beki wa JKT Ruvu, Mohamed Faki akiambaa na mpira.

Mrisho Ngasa (kushoto) akichuana na Mohamed Faki.

Damas Makwaya akimtoka Danny Mrwanda.

No comments: