Ni wiki ngumu ya Uber.Mahakama moja nchini Ujerumani imepiga marufuku huduma ya bei nafuu ya texi ya Uberpop baada ya kuamua kwamba inaenda kinyume na sheria za uchukuzi.Vilevile afisi za kampuni hiyo zilizopo mjini Paris zimevamiwa na maafisa wa polisi wa Ufaransa wanaochunguza huduma hiyo ya Uberpop,huku watu 30 wanaohusishwa na kampuni hiyo wakishtakiwa kwa kuendesha kampuni hiyo ya texi nchini Korea Kusini bila vibali.Uber imesema kuwa wafanyikazi wake wa koreakusini hawajavunja sheria na kuutaja uvamizi huo wa Paris kama usio wa haki.
22 Mar 2015
New
Huduma ya Texi yasitishwa Ujerumani
About SOSTENES LEKULE JR
Hi, I`m Sostenes, Electrical Technician and PLC`S Programmer.
Everyday I`m exploring the world of Electrical to find better solution for Automation. I believe everyday can become a Electrician with the right learning materials.
Newer Article
Liverpool 1-2 Manchester United: Juan Mata nets double to open up five-point lead over Brendan Rodgers' side as Steven Gerrard sees red before Daniel Sturridge grabs consolation goal
Older Article
Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini
Kikosi cha Kenya cha Olimpiki chatajwaJul 03, 2016
Raia 20 wa kigeni wauawa BangladeshJul 03, 2016
Tishio la Dola la Kiislamu lainyemelea Kenya Jul 01, 2016
Kampuni ya Nation yafunga vituo vyakeJul 01, 2016
Tags
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment