Vyombo vya habari nchini Qatar vimesema Serikali ya nchi hiyo vimemuondoa Balozi wake nchini Misri.
Ripoti
zinasema kuwa hatua ya kumuondoa Balozi wake imekuja baada ya Kauli ya
mwakilishi wa Misri kwenye jumuia ya nchi za kiarabu kutoa matamshi
yanayoashiria kuwa Qatar imekuwa ikiwaunga mkono wanamgambo wa kiislamu
nchini Libya.Matamshi hayo yamekuja baada ya Misri kufanya mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Jihad nchini Libya wakilipa kisasi kuhusu tukio la wakristo wa kikopti kuuawa na kundi la IS.
No comments:
Post a Comment