Mez B Kuzikwa Jumatatu Makaburi Ya Wahanga Dodoma - LEKULE

Breaking

21 Feb 2015

Mez B Kuzikwa Jumatatu Makaburi Ya Wahanga Dodoma


 Aliyekuwa  memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ ambaye amefariki jana mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa Jumatatu katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Hapo.
 
Mtandao huu uliongea na mama wa marehemu, Marry Mkandawile ambaye alisema kuwa kwa sasa msiba upo maeneo ya Kisasa mjini Dodoma.

No comments: