Jumuiya ya wazazi Tanzania kuanzia mwakani Januari,itaanza kuchukua tsh100,000 katika ada ya kila mwanafunzi anayesoma katika shule zao ili kuiwezesha jumuiya hiyo kujiendesha.Hivi sasa jumuiya hiyo inachukua tsh30000 za ada kwa mwaka kwa kila mwanafunzi anayesoma katika shule hizo.Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya wazazi Tanzania,GLORIOUS LUOGA alisema hayo kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya uendeshaji wa jumuiya kwa kuwa miradi hiyo haiwanufaishi kwa muda mrefu.
19 Dec 2013
New
JUMUIYA YA WAZAZI KUCHUKUA TSH.100,000 YA ADA
About SOSTENES LEKULE JR
Hi, I`m Sostenes, Electrical Technician and PLC`S Programmer.
Everyday I`m exploring the world of Electrical to find better solution for Automation. I believe everyday can become a Electrician with the right learning materials.
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment