WANAFUNZI WASICHANA WANAOJENGWA KATIKA MSINGI BORA MASOMO YA ICT WATEMBELEA DUKA LA TEKNOLOJIA LA AIRTEL LEO - LEKULE

Breaking

14 Apr 2016

WANAFUNZI WASICHANA WANAOJENGWA KATIKA MSINGI BORA MASOMO YA ICT WATEMBELEA DUKA LA TEKNOLOJIA LA AIRTEL LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgn458ktEmE0Q7Y9KuJBsyfzSuuf9ezSKAWHbeX2W5l9u__Y0A1suYD2gTz_YIm0rYFIDkC5Oa-ygGGqmfLUpKYx_S7f84Y5gZo7-7ZghaJ3ZcV5wdxJAwzoSjlJGQSTghopO-Ke2Wl1zsz/s1600/0e6cae8d-ecb6-4562-aaa6-d3bdae8229e9.jpg

 Wanafunzi washiriki wa mashindano   ya ICT kwa wasichana hapa nchini yaliyoandaliwa na UCAF ( Universal  Communications Services Access Funds )  wakitumia vifaa mbalimbali pamoja na simu za kisasa zilizopo katika duka la Airtel Expo wakati walipotembelea duka hilio katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. Mahindano hayo ya kuwajenga wasichana katika masomo ya teknololojia ya mawasiliano yanadhanimiwa na Airtel Tanzania chini ya UCAF.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwOwM1Knm4x1LmUBIbmWBhEANS11vCqUAmiUKYc1CVV0JQMAS_inpKfHOlRsyhkfAswh_oa8gw22n-st4fmf9vHzIEb4kDppF1bDG-vZGEOBkfFNcs3SDHuZiAatWHUxC21oU0eB4oTrVS/s1600/2b0454e3-74a0-4588-bb34-fef2a9062cb7.jpg Afisa wa huduma kwa wateja wa Airtel, Boaz(kushoto) akifafanua matumizi ya modem ya maajabu ‘wingle’ kwa wanafunzi washiriki wa mashindano   ya ICT kwa wasichana hapa nchini yaliyoandaliwa na UCAF ( Universal  Communications Services Access Funds ) wakati walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. Mahindano hayo ya kuwajenga wasichana katika masomo ya teknololojia ya mawasiliano yanadhanimiwa na Airtel Tanzania chini ya UCAF.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiN8FWMmcwHtWCGBr0_mz6sgOGL5pNiNWrOhyphenhyphenwLceNmp6F0ZGBt1G6yUFNkFnvYkxUyp2-3Hy2xqjvDNZptNOtUmRe31cJzoljKBMMN-nfciGKlvQHu0i7jT03hRF7UbHU_FVG7z4wJGCP6/s1600/74e065bc-045c-4e32-926a-b4bb4a3b4426.jpg
 Afisa wa huduma kwa wateja wa Airtel Bw Stephen Makongoro (katikati)  akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi washiriki wa mashindano   ya ICT kwa wasichana hapa nchini yaliyoandaliwa na UCAF ( Universal  Communications Services Access Funds ) wakati walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. Mahindano hayo ya kuwajenga wasichana katika masomo ya teknololojia ya mawasiliano yanadhanimiwa na Airtel Tanzania chini ya UCAF.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOdkZKA8KfeH0HbFXkvTyLoGBO8FCyQFeXEjV6jSruf7qMmgRF4MZqsHxMh3q4WnuYe-1qVVBx18k12OZB-C1dOJ_o9iA2fMLXO4nvONVzSO1uZrXKg7iX5fPyKrqjF5nwE2941sMKl-z9/s1600/e5198544-91aa-4817-8bad-8611bd145bcd.jpg
Afisa wa huduma kwa wateja wa Airtel, Boaz(kushoto) akifafanua matumizi ya modem ya maajabu ‘wingle’ kwa wanafunzi washiriki wa mashindano   ya ICT kwa wasichana hapa nchini yaliyoandaliwa na UCAF ( Universal  Communications Services Access Funds ) wakati walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. Mahindano hayo ya kuwajenga wasichana katika masomo ya teknololojia ya mawasiliano yanadhanimiwa na Airtel Tanzania chini ya UCAF.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6SJXGvq0AC7X3J1hutUyNEVDY6Z5x-qwvnVUCj2J4H-VtJOZx3JVw3eCK3s6UutUNAfOCBs5dneZU5LlPpPvG2gR5IFwjt3hyphenhyphenChyXE6skaBZ8x4FY89VJAdHpbHttJGm0ci8efLPUVSnt/s1600/ec2fdd52-5285-4802-8446-aca1aafbc973.jpg

No comments: