BIBI KIZEE ABAKWA MKOANI SINGIDA - LEKULE

Breaking

15 Apr 2016

BIBI KIZEE ABAKWA MKOANI SINGIDA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYaWi5bzSptEpN5hRul2pQCR0RBcrhhdNBGJtYupm9MIrzol4I5qVkn69H-N7lnrvr6AIOjeWVcpKPpZYv2vUL9EtOMPwDO7nq2JvB96uHKqleRgDC0vZo49L5VtZ-7Ub_rorQ0mGBQpYg/s1600/DSCN0007.JPG


Pichani ni Bibi kizee mwenye umri wa miaka 84 na mkazi wa Kijiji cha Chungu, tarafa ya Ihanja, wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida akiwa amebebwa na mmoja wa ndugu zake wakati akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mjini Singida kutoa ushahidi katika kesi inayomkabili kijana mmoja mwenye umri wa miaka 32 (jina lake halikupatikana) anayetuhumiwa kumbaka bibi kizee huyo kwa mara ya tatu sasa ndipo walipofanikiwa kumkamata. (Picha Na Jumbe Ismailly)

No comments: