MC PiliPili alivyokutana na watu wake kwenye Stand Up Comedy Mwanza…(+Pichaz) - LEKULE

Breaking

28 Mar 2016

MC PiliPili alivyokutana na watu wake kwenye Stand Up Comedy Mwanza…(+Pichaz)



Kwenye tafiti zilizowahi kufanyika wataalamu wanasema Binadamu akiwa na furaha anaongeza siku za kuishi, Watu wangu wa Mwanza usiku wa jana walitembelewa na mchekeshaji maarufu MC PiliPili unaambiwa watu walishika mbavu kila alipoongea na ule utani wake, Kwenye upande wa Burudani alikuwepo msanii wa Bongo Fleva Barnaba, ripota wa millardayo.om kazipata picha za tukio zima ruhusa kuzitazama.
Image00005
Watu wangu kwenye furaha ya aina yake
Image00007
Image00004
Image00014
MC PilPili na pozi la kazini kabisa
Image00006
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula nae alikuwepo
Image00008
Lazima ucheke tu hakuna namna
Image00010
Mtangazaji wa 360 ya CloudsTV Hudson Kamoga, kwenye pozi la umakini
Image00015
Muda wa zawadi kutoka kwa Mbunge
Image00016
Msanii Barnaba akionyesha ufundi wake
Image00013
Mchekeshaji MC PiliPili
Image00012
Image00003
Image00002
Mchekehaji Dogo Pepe
Image00001
Mrembo kwenye furaha yake
Image00011
Image00017

No comments: