Tatizo hilo linatarajiwa kuwa mbale zaidi, utafiti uliofanywa na taasisi inayohusika na masuala ya sensa , umebainisha kuwa asilimia arobaini ya raia wa Japan watakuwa na umri wa miaka sitini na tano au zaidi ifikiapo mwaka wa 2050, na hivyo kuzua wasi wasi kuwa gharama ya kuwatunza watu wakongwe nchini humo itapanda zaidi.
Tatizo hilo linatarajiwa kuwa mbale zaidi, utafiti uliofanywa na taasisi inayohusika na masuala ya sensa , umebainisha kuwa asilimia arobaini ya raia wa Japan watakuwa na umri wa miaka sitini na tano au zaidi ifikiapo mwaka wa 2050, na hivyo kuzua wasi wasi kuwa gharama ya kuwatunza watu wakongwe nchini humo itapanda zaidi.



No comments:
Post a Comment