Serikali Yatoa Picha Rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Magufuli - LEKULE

Breaking

6 Nov 2015

Serikali Yatoa Picha Rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Magufuli



Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiwaonesha waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambayo itakuwa ikitumika katika ofisi za Serikali na Binafsi ambayo inapatikana Idara ya Habari (MAELEZO) kwa gharama ya Shilingi 15,000/=

No comments: