NJOO LEO ESCAPE ONE UCHEZE MZIKI MZURI KUTOKA KWENYE BENDI YA SKYLIGHT - LEKULE

Breaking

19 Oct 2015

NJOO LEO ESCAPE ONE UCHEZE MZIKI MZURI KUTOKA KWENYE BENDI YA SKYLIGHT

 Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea kutoa burudani akisindikizwa na waimbaji wenzake jumapili iliyopita.Njoo leo kuona mambo mapya kutoka katika bendi ya Skylight katika kiota cha Escape One.
 Mwimbaji wa bendi ya skylght Natasha akiwa anawapa mashabiki vionjo vya nyimbo za taratibu (kistaarabu) huku akisindikizwa na Sam Mapenzi jumapili iliyopita ndani ya kiwanja cha Escape One Mikocheni. 
 Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zinazombamba Afrika ya Mashariki katika hatua yake ya kukusanya mashabiki ili tu waende sawa aisee huyu jamaa ni hatari jumapili hii atakuwepo pale Escape One Mikocheni bila kukosa sogea taratibu uje ushuhudie vitu kutoka skylight band.
Sam Mapenzi akicheza na mashabiki wa bendi hiyo

 
 Hakika ukiwa ndani ya Skylight ni kusakata rhumba ,o jambo la kawaida katika kiota cha Escape One Mikocheni
Mpiga Bass, Tofe aka 2be(kushoto) pamoja na mpiga gitaa Alen Kisso wakiendelea kuwakonga nyoyo mashabiki wao waliofika katika kiota cha Escape One Mikocheni jumapili iliyopita.
Joniko Flower  akicheza na mmoja wa shabiki mkubwa wa bendi ya Skylight jumapili iliyopita katika kiota cha Escape One Mikocheni

DaudiTumba aka Kabakangedere(kushoto) pamoja Tofe aka 2be ambaye ni Mpiga Bass wakiendelea kuwakonga nyoyo mashabiki wao katika kiota cha Escape One Mikocheni jumapili iliyopita
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba moja ya sebene la bendi hiyo uku waimbaji wa Skylight wakendelea kuserebuka ndani ya Kiota cha Escape One Mikocheni

Mashabiki wa Bendi ya Skylight wakiendelea kulisakata Rhumba la nguvu kutoka katika bendi hiyo
Hii ni moja wapo ya Style mpya ya Bendi ya Skylight kama unataka kuijua basi jisogeze wewe na rafiki yako katika kiota cha Escape One uone mambo mapya kutoka katika bendi hiyo
Mashabiki wakicheza kwa kuzungusha duala hapa ni kukata mauno mpaka kieleweke

Mwimbaji wa Bendi ya Skylight,  Sony Masamba akiimba na kucheza na mashabi wao waliofika kijione mziki mkubwa wa bendi ya Skylight ndani ya Kiota Cha Escape One

Mashabiki na wapendi wa bandi wakiendelea kuserebuka na mziki mkali kutoka katika bendi ya Skylight maana tunasema usisubili kupewa raha jipe raha mwenyewe

No comments: