NHIF YAENDELEA NA MPANGO WA KIKOA. - LEKULE

Breaking

21 Oct 2015

NHIF YAENDELEA NA MPANGO WA KIKOA.



????????????????????????????????????Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF (katikati), akizungumza na wanachama wapya wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango huo kuwakabidhi kadi ya uanachama wapatao 25 wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango mpango wa KIKOA (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi YETU MICROFINANCE PLC, Bw.Altemius Millinga, (watatu kulia) Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Bw. Eugen Mikongoti. hafla hiyo ilifanyika Yombo Dovya Oktoba 20, 2015 Jijini Da es Salaam.
????????????????????????????????????Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya YETU MICROFINANCE PLC, Bw.Altemius Millinga (kushoto), akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo.
????????????????????????????????????
Wanachama wapya wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA wakifuatilia mada mbalimbali wakati hafla hiyo.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA, Mwanachama mpya, Bi. Asha Juma mkazi wa Mzizima (ILALA) Dar es Salaam.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA, Mwanachama mpya, Bi. Lucer Kimamba mkazi wa Mbagala.
????????????????????????????????????
Maofisa kutoka NHIF wakiwa katika hafla hiyo.
????????????????????????????????????Wafanyakazi kutoka YETU MICROFINANCE PLC.
????????????????????????????????????
Picha ya pamoja

No comments: