Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania Chapata Usajili Rasmin. - LEKULE

Breaking

18 Sept 2015

Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania Chapata Usajili Rasmin.

Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani  Mkala  akipokea  Cheti cha Usajili wa Chama hicho  kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha Selemani Mkala   akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya madereva ambao ni wanachama wa chama hicho mara baada ya kukabidhiwa cheti hicho katika Ofisi za Msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.

No comments: