FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA - LEKULE

Breaking

17 Aug 2015

FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

flaviana ndoa (1)
Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha juzi.
flaviana ndoa (2)
Massawe akimbusu mkewe.
flaviana ndoa (3)
Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.
flaviana-ndoa-(1)
 flaviana-ndoa-(2)
MWANAMITINDO Flaviana Matata alifunga ndoa na Deogratius Massawe katika Kanisa la St. Joseph lililopo jijini Dar. Ndoa hiyo ilifuatiwa na sherehe zilizofanyika katika Hoteli ya Serena, Dar.

No comments: