MWANAMUZIKI Rick Ross wa Marekani ameachiwa huru baada ya kuweka
dhamana ya dola milioni mbili kutokana na kutiwa mbaroni Juni 24 mwaka
huu kwa tuhuma za kumteka nyara na kumshambulia mlinzi wake na kumtishia
kwa bastola.
Rapa huyo pia ameweka dhamana jumba lake lilikoko Fayette, Jimbo la Georgia, ambalo lilikuwa likimilikiwa na bondia Evander Holyfield.
Rapa huyo pia ameweka dhamana jumba lake lilikoko Fayette, Jimbo la Georgia, ambalo lilikuwa likimilikiwa na bondia Evander Holyfield.
No comments:
Post a Comment