Rais Obama hakubeba zawadi yoyote aliyopewa nyumbani kwao Kenya.. Sababu ni hii - LEKULE

Breaking

31 Jul 2015

Rais Obama hakubeba zawadi yoyote aliyopewa nyumbani kwao Kenya.. Sababu ni hii


Mgeni Rais Obama alivyoenda kwao Kenya, walijipanga na zawadi kibao ili mtu wao arudi nazo kwa ajili ya Kumbukumbu Marekani… alienjoy vingi Kenya ikiwemo dance ya nguvu na wakali wa Sauti Sol, lakini kumbe zile zawadi hata hakuondoka nazo !!

Hata usiwaze kwamba labda Barack Obama alidharau zawadi ya Kinyago cha Tembo pamoja na picha mbili za kuchorwa kwa mkono, ishu ni kwamba itifaki au protocol ya Ikulu ya Marekani hairuhusu Rais wao kupokea zawadi yoyote toka kwa Kiongozi yoyote nje ya Marekani !

Hizi ndio pichaz za zawadi zenyewe alizopewa Rais Obama toka kwa Rais Kenyatta.


No comments: