| Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akiosha gari wakati wa shughuli hiyo maalum kwa ajili ya kuchangia waandishi wenye udhoofu wa afya zao. |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa Habari Maelezo (wa kwanza kushoto) Athur Mwambene akiosha gari. |
![]() |
| Wakielekea kuosha magari. |
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Kinomdoni, Paul Makonda akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuongea na waandishi wa habari pamoja na wadau. |






No comments:
Post a Comment