Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari Apata Ajali ya Chopa - LEKULE

Breaking

8 Jul 2015

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari Apata Ajali ya Chopa

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali ya Chopa baada ya kuanguka juu ya mti jana jioni  katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. 
 

Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani wake wako Hospitali ya Seriani mkoani Arusha kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali hiyo

No comments: