WFP kupunguza chakula cha wakimbizi - LEKULE

Breaking

12 Jun 2015

WFP kupunguza chakula cha wakimbizi


Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia chakula WFP limesema kuwa litapunguza kiwango cha chakula kwa takriban wakimbizi nusu milioni kazkazini mwa Kenya kutokana na ukosefu wa ufadhili.
WFP limesema kuwa litapunguza chakula hicho kwa thuluthi moja katika kambi mbili za Dadaab na Kakuma ambazo ni makaazi ya wakimbizi kutoka Somalia na Sudan Kusini.
Pia limeomba ufadhili wa dola milioni 12.
Mnamo mwezi Novemba mwaka uliopita shirika hilo lililazimika kupunguza hadi nusu kiwango cha chakula huku likisubiri kupata ufadhili zaidi.

No comments: