Maafisa wa polisi nchini Kenya
wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa
Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la
Alshabaab.
Andreas Martin Muller anadaiwa kuwa mmoja ya washambuliaji waliovamia kituo cha jeshi katika kaunti ya Lamu.Wanamgambo 11 na wanajeshi wawili wa Kenya walifariki.
Raia mwengine wa Ulaya Thomas Evans kutoka Uingereza pia alishiriki katika uvamizi huo kabla ya kuuawa.
No comments:
Post a Comment