Mgomo wa Madereva: Polisi Waamua Kutumia Mabomu ya Machozi Stendi Kuu Ubungo, Dar.Kama upo nyumbani na utapitia barabara hii tafadhali subiri kwanza hali si nzuri. - LEKULE

Breaking

10 Apr 2015

Mgomo wa Madereva: Polisi Waamua Kutumia Mabomu ya Machozi Stendi Kuu Ubungo, Dar.Kama upo nyumbani na utapitia barabara hii tafadhali subiri kwanza hali si nzuri.



Habari zilizotufikia zinaarifu Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu ya machozi katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo kutuliza vurugu zinazofanywa na abiria pamoja na wananchi kufuatia mgomo wa madereva.

No comments: