BABA YAKE MKUDE AZIKWA JIJINI DAR - LEKULE

Breaking

8 Apr 2015

BABA YAKE MKUDE AZIKWA JIJINI DAR



MZEE Gerald Jonas Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amezikwa leo Jumanne jioni katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar, baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo tangu Novemba mwaka jana.

Mzee huyo ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 46, alilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala tangu Alhamisi ya wiki iliyopita kabla ya Jumapili kufariki akiwa katika hospitali hiyo ya Mkoa wa Kitabibu wa Kinondoni.
Bwana ametoa na bwana ametwaa na jina lihimidiwe, amina.

No comments: