
Mitandao ya kijamii imebeba habari kuwa daraja linalounganisha Kinyerezi na Majumba Sita jijini Dar es Salaam limevunjika tena baada ya kupita lori lililokuwa limebeba zege. Daraja hilo lilivunjika pia Juni mwaka jana baada ya lori lililokuwa limebeba kontena kupita eneo hilo.


No comments:
Post a Comment