Mmiliki wa kiwanda kikubwa cha A to Z Cha Arusha Anoji Shah akiwaeleza
wanafunzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Engutoto wilayani Monduli
umuhimu wa elimu na pia kutangaza msaada wa enzi wa mabweni yote mawili
yaliyoteketezwa kwa moto wiki mbili zilizopita.
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa akisalimiana
na wanafunzi wa shule hiyo.Lowassa ambaye alirejelea kauli yake ya
kwamba yeye si tajiri bali ni tajiri wa marafiki, alichangia shilingi
milioni tatu kwa ajili ya sare za shule kwa wanafunzi ambao nguo zao
ziliteketea.Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP amechangia
shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda.
No comments:
Post a Comment