WABUNGE WATAKA MWEKEZAJI MAKINI MGODI WA KIWIRA - LEKULE

Breaking

6 Apr 2016

WABUNGE WATAKA MWEKEZAJI MAKINI MGODI WA KIWIRA

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla, akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini, walipofika ofisini kwake hivi karibuni, wakiwa katika ziara mkoani humo kukagua Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe, akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini wakati wa ziara yao kukagua Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira uliopo mkoani Mbeya, hivi karibuni.
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini, wakiwa katika ziara kukagua Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira mkoani Mbeya hivi karibuni. 
 Kutoka Kulia (mbele), ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini, Ussi Pondeza, Mjumbe wa Kamati na Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige pamoja na Meneja Mkuu wa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira, Evans Mwakambonja, wakati wa ziara ya Kamati husika kukagua mgodi huo hivi karibuni.
 Sehemu ya eneo la Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira uliopo mkoani Mbeya.

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Mwalimu Zainabu Mbussi (katikati), akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini, wakati wa ziara ya Kamati hiyo mkoani Mbeya hivi karibuni, kukagua Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira.

No comments: