TAASISI YA KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE KATIKA MASUALA YA UMILIKI WA ARDHI "MAMA ARDHI ALLIANCE" YAZINDULIWA - LEKULE

Breaking

15 Feb 2016

TAASISI YA KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE KATIKA MASUALA YA UMILIKI WA ARDHI "MAMA ARDHI ALLIANCE" YAZINDULIWA


1
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance)wakizindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa Ardhi, uzinduzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za shirika la Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) Ilala jijininDar es salaam.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
2
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance)wakikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa Ardhi.
3
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi akionyesha huku Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance) na wanachama wenzake wakifurahia mara baadea ya kuzindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa Ardhi, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA Tike Mwambipile.
4
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi akimpongeza Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance)mara baada ya kuizindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa Ardhi
6
Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance) akisaini kulia ni Naemy Silayo Program Officer Gender And Children Unit wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
7
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi akizungumza jambo katika kikao hicho kutoka kulia ni Bi.Lilian Liundi kutoka TGNP na katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA Bi. Tike Mwambipile.
8
Jaquiline Waya Afisa Mipango wa Shirika la Wanawake Katika Sheria na Maendeleo Afrika WILDAF akizungumza jambo katika mkutano huo kulia ni Loyce GondweOfisa wa Sheria katika shirika la Tanzania Media Women Association (TAMWA)
10
Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama Ardhi Alliance) pamoja na baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakiendelea na majadiliano.
11
Wajumbe wa Taasisi ya Mama Ardhi Alliance wakipitia nyaraka kabla ya kusainiwa na kuzindua taasisi hiyo.
12
Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA Tike Mwambipile akizungumza jambo katika kikao hicho
13
Mkutano ukiendelea

No comments: