WAZIRI NDALICHAKO AFANYA KIKAO NA MKUU WA WILAYA YA HAI,ANTHONY MTAKA - LEKULE

Breaking

15 Feb 2016

WAZIRI NDALICHAKO AFANYA KIKAO NA MKUU WA WILAYA YA HAI,ANTHONY MTAKA

Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiongozana na Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi Prof Joyce Ndalichako alipofika ofisi ya mkuu huyo wa wilaya na kuzungumza mambo machache na Wakaguzi wa elimu na maofisa elimu wa wilaya ya Hai.
Waziri Ndalichako akitia saini katika kitabu cha wageni ofisini kwa mkuu wa wilaya ya Hai.
Baadhi ya viongozi wa wilaya ya Hai,wakiwa katika kikao kidogo na Waziri Ndalichako.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka (kushoto) akimueleza jambo Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi ,Prof Joyce Ndalichako aliyefanya kikao kidogo na watumishi wa Elimu katika halmashauri ya wilaya ya Hai.
Waziri Prof Ndalichako akizungumza na viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia elimu katika halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akimsikiliza kwa makini Prof Ndalichako.

Waziri Prof Ndalichako akizungumza na kutoa maagizo mbalimbali kwa maofisa elimu na wakaguzi wa elimu katika wilaya ya Hai.

No comments: