Picha zinaonesha jinsi gani wanafunzi wachuo kikuu cha Ambrose
Ali University kilichopo nchini Nigeria wana utamaduni wa kusherekea
mahafali katika mtindo wa tofauti ambapo kwa miaka kadhaa sasa wamekuwa
wakifanya hivyo, kwakujipaka vumbi la mkaa lilochanganywa na mafuta
machafu.
No comments:
Post a Comment