CCM Yavuna Wanachama 180 Mkutano wa Hadhara Mtwara - LEKULE

Breaking

17 Sept 2015

CCM Yavuna Wanachama 180 Mkutano wa Hadhara Mtwara

Umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
Umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
Umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
 Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani leo.
 Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani leo.
Baadhi ya wasanii wakiburudisha umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni  wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani leo.
Sehemu ya umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
Sehemu ya umati wa wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
Mmoja wa viongozi wa CCM Mtwara Mjini akiwakaribisha wageni na kufungua mkutano wa kampeni.
Sehemu ya meza kuu kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika viwanja vya Manispaa ya Mtwara Mikindani.
Mgomgea ubunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Murji Hasnain Mohamed akiwahutubia wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara, Mohamed Sinani akizungumza na wananchi pamoja na wanaCCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan.






























































Baadhi ya vijana wakiwa wamepanda juu ya miti kushuhudia matukio katika mkutano wa kampeni wa CCM Mtwara Mjini.
Mgombea wa Ubunge kupitia CCM, Bi. Hawa Ghasia akiwa amempakata mtoto kwenye mkutano huo wa kampeni.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwapokea wanachama wapya wa CCM waliohamia kwenye mkutano wake wa kampeni Mikindani Mtwara.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwapokea wanachama wapya wa CCM waliohamia kwenye mkutano wake wa kampeni Mikindani Mtwara.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipokea kadi toka kwa wanachama wapya wa CCM waliohamia kwenye mkutano wake wa kampeni Mikindani Mtwara.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (katikati) akionesha kadi alizopokea toka kwa wanachama wapya wa CCM waliohamia kwenye mkutano wake wa kampeni Mikindani Mtwara.

No comments: