BONANZA LA OFISI YA RAIS-UTUMISHI - LEKULE

Breaking

14 Sept 2015

BONANZA LA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa tatu kutoka kulia) akifanya mazoezi  na Watumishi wa ofisi yake wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
 Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kulia) akifungua Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika katika Viwanja vya Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
 Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakishindana kukimbia na gunia wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa pili kutoka kushoto) akimkabidhi zawadi mshindi wa mbio za magunia Bw. Ally Litongolele (kulia) wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakishindana kukimbia na yai wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
By James K. Mwanamyoto
Afisa Habari,

Ofisi ya Rais-Utumishi.

No comments: