24 Jul 2015

Magufuli Apata Mapokezi ya Kutisha Kibaigwa

Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Kibaigwa, Mkoani Dodoma leo asubuhi , wakati akiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam akitokea Mkoani Geita.


No comments:

Post a Comment