Ligi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1 - LEKULE

Breaking

29 Dec 2015

Ligi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1


 Mshambuliaji wa timu ya Mafunzo akijiandaa kupiga mpira huku beki wa timu ya KMKM akiwa tayari kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
 Beki wa Timu ya Mafunzo akiondoa mpira golini kwao, 
 Mshambuliajhi wa Timu ya KMKM na Beki wa Timu ya Mafunzo wakiwania mpira.
Kipa wa timu ya Mafunzo akiokoa mpira ikiwa moja ya shgambulio golini kwake.
Mshamuliaji wa Timu ya KMKM akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Mafunzo akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zabnzibar uliofanyika uwanja wa amaan timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Beki wa timu ya Mafunzo akiondoa mpira golinin kwao, huku mshambuliaji wa timu ya KMKM akiwa tayari kuleta madhara. 
Mshambuliaji wa Timu ya KMKM akipiga mpira golini kwa timu ya Mafunzo. 
Kocha wa Timu ya Mafunzo Hemedi Moroko akitowa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mchezo wao na  Timu ya KMKM uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka sare ya bao 
1--1
Mchezaji wa Timu ya Mafunzo na KMKM wakiwania mpira.
Kipa wa Timu ya KMKM akidaka mpira wakati wa mchezo wao na timu ya Mafunzo uliofanyika uwanja wa Amaan timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Mshambuliaji wa timu ya Mafunzo akijiandaa kumpita beki wa timu ya KMKM wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka 
sare ya bao 1--1
Mchezaji wa Timu ya KMKM na Mafunzo wakiwania mpira.
Kocha Mkuu wa Timu ya KMKM Ali Bushiri (Bush) akiwakaripia wachezaji wake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Beki wa timu ya KMKM akimkata mtama mshambuliaji wa timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Mchezaji wa Timu ya Mafunzo na Kmkm wakishindana nguvu wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1

No comments: