12 Nov 2015

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu

Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam ambacho kimehudhuriwa kwa mara ya kwanza na Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli. (picha:  Ikulu)


No comments:

Post a Comment