WAZIRI NAPE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU NDANDA KOSOVO JIJINI DAR LEO - LEKULE

Breaking

13 Apr 2016

WAZIRI NAPE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU NDANDA KOSOVO JIJINI DAR LEO

 Sanduku lenye Mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo ukiwasili mapema leo mchana katika  nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar,kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika jioni ya leo katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
 Waziri Nape Nnauye akisalimiana na Waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini, Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo ambaye  anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
  Waziri wa Habari,utamaduni,Sanaa na Michezo.Mh Nape Nnauye akisalimiana na Waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo ambaye  anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
  Waziri wa Habari,utamaduni,Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye akitoa salamu za rambirambi kwa Waombolezaji, wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo,katika nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar ,Ndanda Kosovo anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
  Baadhi ya Marafiki ndugu jamaa na wanamuziki wenzake wakiwa wamekusanyika nje ya nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar ,wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni.
  Mwanamuziki Lady Jay Dee akiwasili kwenye kuaga mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo mapema leo mchana.
 Sanduku lenye mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo likiwa mbele ya Waombolezaji tayari kwa kuanza kumuaga.
 Baadhi ya Marafiki,Ndugu na Jamaa wakiwemo Wanamuziki wenzake wakiwa wamejipanga nje ya nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar, wakisubiri kuupokea mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni,jijini Dar.
  Waombolezaji wakiwa katika hali ya huzuni.
 Baadhi ya Marafiki ndugu jamaa na wanamuziki wenzake wakiwa wamekusanyika nje ya nyumba ya Ubalozi wa Congo, iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar, wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni.
 Mama wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo akilia kwa uchungu mara baada ya kuwasili mwili wa Marehemu mwanae kwenye nyumba ya ubalozi wa Congo,Hananasifu-Kinondoni jijini Dar mchana huu.

  Baadhi ya waombolezaji wakilia kwa uchungu.
 Baadhi ya Wanamuziki na Ndugu Jamaa na marafiki wakiwa kwenye msiba huo.

No comments: